MWANAMKE KICHAA AKUTWA NA MAITI YA MTOTO WA MIAKA MITANO NA HIRIZI KIBAO

Katika hali ya kushangaza mwanamke mmoja anayedaiwa kuwa na matatizo ya akili (pichani ) amekutwa na maiti ya mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka mitano katika mji wa Lagos nchini Nigeria mapema leo asubuhi.
 
Mbali na kukutwa na maiti ya mtoto huyo,kichaa huyo pia amekutwa na rundo la hirizi
Previous
Next Post »