Mambo 10 unayoyafanya na kusababisha kuharibu figo lako mwilini;

Photo: Mambo 10 unayoyafanya na kusababisha kuharibu figo lako mwilini;

1. Kubana mkojo kwa muda mrefu unapo banwa.
2. Kutokunwa maji ya kutosha.
3. Kula sana nyama.
4. Kutumia ovyo vidonge vya maumivu.
5. Kutopumzika vya kutosha. 

Zaidi soma | http://bit.ly/1gDTOX0

Hukojowi mapema mkojo ukikushika


Hunywi maji ya kutosha 


unakula chumvi sana kwenye chakula.


Hujitibu magonjwa ya kawaida kwa haraka na vizuri 


Unakula nyama sana 


Huli chakula cha kutosha 


Unatumia Vidonge vya kukata maumivu kwa wingi 


Huli kwa wingi vayakula vya virutubisho 


Unakunywa pombe kupita kiasi 


Hupumziki vya kutosha.



Previous
Next Post »