Majeruhi 6 kati ya 35 waliokuwa wamelazwa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga baada ya kupata ajali wakati wakisafiri na gari aina ya fuso,lililopinduka jana asubuhi katika eneo la Uchunga wilayani Kishapu mkoa wa Shinyanga wamepelekwa katika hospitali ya rufaa jijini Mwanza kwa ajili ya matibabu zaidi.
Majeruhi wengine 11 jana walikimbizwa katika hospitali ya Kolandoto.
Kaimu mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Shinyanga Dkt Daniel Maguja amewataja waliopelekwa Bugando kuwa ni Masanja Kishiwa 42 mkazi wa Mwajiginya),Mayala Lugomela (31 mkazi wa Jijongo,Malando Mashamindi(20) mkazi wa Nobola,Marco Bundala 19 mkazi wa Jijongo, Jeremia Jisena 35 mkazi wa Mwaweja na Ndila Shigela 41 kutoka kijiji cha Mwajiginya wilayani Kishapu.
Amewataja waliopoteza maisha kwenye ajali hiyo kuwa ni ni Charles Makengwa, Difa Shimo miaka 28 wote wakazi wa wilaya ya Kishapu na kwamba maiti moja ndugu zake bado hawajapatikana ili kuitambua.
Majeruhi wengine 11 jana walikimbizwa katika hospitali ya Kolandoto.
Kaimu mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Shinyanga Dkt Daniel Maguja amewataja waliopelekwa Bugando kuwa ni Masanja Kishiwa 42 mkazi wa Mwajiginya),Mayala Lugomela (31 mkazi wa Jijongo,Malando Mashamindi(20) mkazi wa Nobola,Marco Bundala 19 mkazi wa Jijongo, Jeremia Jisena 35 mkazi wa Mwaweja na Ndila Shigela 41 kutoka kijiji cha Mwajiginya wilayani Kishapu.
Amewataja waliopoteza maisha kwenye ajali hiyo kuwa ni ni Charles Makengwa, Difa Shimo miaka 28 wote wakazi wa wilaya ya Kishapu na kwamba maiti moja ndugu zake bado hawajapatikana ili kuitambua.
Artikel Menarik Lainnya
WAZIRI MKUU AWAPONGEZA MADAKTARI WA TAASISI YA KIISLAM YA BILAL WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewashukuru na kuwapongeza madaktari wa Taasisi ya Bilal Muslim
SABODO AMSHAURI RAIS MAGUFULI AZIDI KUPUNGUZA BARAZA LA MAWAZIRI Mfanyabiashara maarufu nchini, Jaffar Sabodo akizungumza nyumbani kwake Upanga Dar es Sa
WAZIRI LUKUVI AZINDUA MPANGO KABAMBE MTWARA Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi akisalimiana na Mk
JESHI LA POLISI NCHINI KUVIFUNGA VYUO VYA UDEREVA VISIVYO NA SIFA Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamishina wa Polisi (DCP), Mohamed M
Rais Magufuli apokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa Kiwanda cha kusindika gesi asilia (LNG) Ambacho Kitagharimu trilion 65 za kitanzania Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 22 Agosti, 2016 a
Kauli ya Serikali kuhusu wanafunzi 7802 wa UDOM waliorudishwa nyumbani
EmoticonEmoticon