Mahabusu Mkoani Geita wameamua kuvua nguo,wakidai haki zao,uamuzi huo uliibua tafrani mpaka jeshi la Polisi kuingilia kati. |
Mahabusu wa gereza la wilaya ya Geita wakiwa wamevua nguo na kung'ang'ania mlingoti wa bendera ya taifa katika mahakama ya mwanzo ya nyankumbu mjini Geita wakishinikiza haki itendeke.
EmoticonEmoticon