WAWILI WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BASI LA SMART ILIYOTOKEA LEO ENEO LA LUGOBA


Basi la smart likiwa limepinduka eneo la Lugoba
Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo akiwa amepoteza fahamu baada ya kupata mshtuko
Watu wawili Wamefariki Dunia Kutokana na Ajali ya Basi la Smart Asubuhi Ya leo.

Basi Hilo Lililokuwa likitokea Jijini dar es salaam Kuelekea Mombasa Nchini 
Kenya Limeacha Njia Na Kupinduka na Kusababisha Vifo vya watu Wawili 
 
pamoja na Kujeruhi abiria wanaokadiriwa kufika 20 .Ajali hiyo imetokea katika Eneo la  Mkata na Lugoba  Barabara Kuu ya Chalinze Segera.
SOURCE  DJ SEK BLOG
Previous
Next Post »