BREAKING NEWS WATU ZAIDI YA 20 WAPOTEZA MAISHA BAADA YA BASI KUGONGA NYUMBA NA KUPINDUKA HUKO SIMIYU


Habari zilizoufikia hivi punde kutoka mkoani Simiyu ni kwamba watu zaidi ya 20 wamepoteza wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa baada ya basi la Luhuye walilokuwa wanasafiria kutoka Musoma kwenda Mwanza kugonga nyumba na kupinduka wilayani Busega mkoani Simiyu.

Inaelezwa kuwa majeruhi hawana msaada kwani ajali hiyo imetokea eneo la kijijini.

Habari Kamili kuhusu tukio hili la kusikitisha Endelea   kupitia mtandao huu 
 

Previous
Next Post »