UNAJUA KWANINI BEYONCE HATAKI KUHUDHURIA ARUSI YA KANYE WEST NA KIM KARDASHIAN?SOMA HAPA































Kim Kardashian na Kanye West wametangaza siku ya harusi yao, lakini kuna mtu mmpja muhimu anayedaiwa kuwa hatohudhuria – Beyonce.

Wakati ambapo inadaiwa kuwa Jay Z hakuwa tayari kuwa best man wa Kanye, sasa, Beyonce anadaiwa kumwambia Jay-Z na Kanye kuwa hataki kurekodiwa kwenye video wakati wa harusi hiyo. Beyonce anaiwa kusema haiwezekani yeye kuwa sehemu ya video hiyo itakayotumika kwenye reality show ya familia ya Kim.

Mtandao wa RadarOnline umedai kuwa Beyonce amekuwa akiwaambia marafiki zake kuwa hataki kwenda kwenye harusi hiyo kwakuwa idea ya harusi hiyo ni ya kipuuzi kwakuwa harusi yake na Jay Z ilikuwa ya siri.

“Beyoncé’s motto has always been, less is more. But clearly when it comes to Kim, more means more. She knows she’ll have to go to the wedding, but really does not to want to,” kilisema chanzo.

Harusi hiyo itafanyika jijini Paris, May 24 na ofcourse Beyonce atalazimika kuwepo kwasababu tu mume wake Jay Z na Kanye ni marafiki wa damu.
Previous
Next Post »