Waziri wa Malaysia amebadilisha vichwa vya habari duniani kwa kusema ripoti ya shirika moja la Uingereza inadhihirisha kwamba ndege ya Malaysia iliyopotea zaidi ya siku 15 zilizopita, ilianguka kwenye bahari ya hindi na kuua watu wote waliokuwemo ndani.
Ni habari ambayo imepokewa kwa machungu sana hasa kwa ndugu waliopoteza wenzao waliokua wakisafiri na ndege hii…
EmoticonEmoticon