Mcheki Lady Gaga Akiwa na Vazi Lenye iPad


Mkali huyu mwenye umri wa miaka 27 ambaye kwa sasa anayeshika nafasi za juu kwenye chati mbalimbali Duniani, kwenye kipindi cha friday night chat ndani ya jiji London aliamua kuvaa nguo hii isiyo na vishikizi kwa ajili ya kipindi hicho.


Gaga alivaa nguo hiyo yenye kava maalum la plastiki ambalo lina sehemu ya kuweka iPad ambayo imejengewa ndani yake.
Previous
Next Post »