ASKOFU MSTAAFU DESMOND TUTU AIBIWA NYUMBANI KWAKE WAKATI YUPO KWENYE MSIBA WA MANDELA JANA

Victim: Desmond Tutu's home was broken in to while he was speaking at Nelson Mandela's memorial
JOHANNESBURG — Police in South Africa say retired Archbishop Desmond Tutu’s home was robbed while he was away to attend a memorial honoring Nelson Mandela.
A statement Wednesday from the South African Police Service said the robbery of Tutu’s home in Cape Town happened between 7 p.m. and 9 p.m. Tuesday. That was the day the Nobel Peace Prize laureate and foe of apartheid spoke at the memorial service at a soccer stadium in Soweto township of Johannesburg.
The statement said: “At this stage, we cannot give further details, as the investigation into the matter is still ongoing. No arrests have been made as yet.”
The 82-year-old Tutu had his home robbed in August as he and his wife slept inside. Both were unhurt.

Wezi wamevunja na kuingia nyumbani kwa Askofu mstaafu Desmond Tutu.
Polisi wamesema wizi huo ulifanyika wakati bwana Tutu akiwa katika ibada ya Nelson Mandela Mjini Johannesberg.
Inaarifiwa Tutu aliibiwa vitu vyake wakati akiwa anahudhuria ibada maalum ya kumuaga Hayati Nelson Mandela siku ya Jumanne.
Aidha wameelezea kuwa uvamizi ulifanyika nyumbani kwake mjini Cape Town Ahamisi jioni baada ya kutoa hotuba katika ibada ya Mandela siku hiyo.
Ibada hiyo ilifanyika katika uwanja wa FNB mtaani Soweto.
Wizi na uvamizi wa nyumba za watu ni jambo la kawaida nchini Afrika Kusini ambako visa vya uhalifu viko juu sana.

Previous
Next Post »