Hili ni gari lenye namba ya IT lililokuwa likitokea bandari jijini Dar kwenda nchi za kusini mwa Tanzania ambalo lilihama njia na kuligonga daladala li.lolokuwa likitoka mjini Mbeya Kwenda Uyole hata hivyo hakuna aliyepoteza maisha katika ajali hiyo iliyotokea jijini MBeya karibu na kituo cha mama John |
EmoticonEmoticon