Mpango wa “Matokeo makubwa Sasa”“Big Result now” katika Sekta ya Elimu wazinduliwa jijini Dar.


SONY DSC
Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Mhe. Dk Shukuru Kawambwa akifafanua jambo  wakati akizindua wa utekelezaji wa mikakati ya “Matokeo makubwa Sasa” ambapo kwa kingereza unaitwa “Big Result now” katika sekta ya elimu. Uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi mpya wa mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam, mpango huu utaongeza fursa za ukuaji Uchumi Wananchi na kuchochea Ustawi kwa Maisha bora kwa Watanzania wote.
SONY DSC
Maafisa wa Elimu mikoa wakitoa ahadi zao kwa Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Mhe. Dk. Shukuru Kawambwa namna watakavyoenda kutekeleza mpango wa “Matokeo Makubwa Sasa”katika sehemu zao za kazi.
SONY DSC
Baadhi maafisa wa Elimu mikoa wakisaini nakala za ahadi za mpango huo(wa kwanza kulia)Afisa Elimu Mkoa wa Mtwara Bw.Hirson Kipenya ,akifuatiwa na Yusufu Kipengele Mkoa wa Pwani, Ibrahim Mbango, Mkoa wa Manyara wanaoshuhudia (wa kwanza kulia) Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Mhe. Dk Shukuru Kawambwa (katikati) Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo(wa kwanza kushoto)Naibu waziri wa Tamisemi Mhe, Naibu Waziri wa Elimu Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Kassim Majaliwa.
SONY DSC
Wadau wa Elimu wakiwa kwenye mkutano huo wakati wa uzinduzi wa  “Matokeo makubwa Sasa” ambapo kwa Kiingereza unaitwa “Big Result now”kwa sekta ya Elimu.
SONY DSC
Kikundi cha ngoma Parapanda kikitoa burudani wakati wa uzinduzi huo.
 
 
Previous
Next Post »