
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda 
akizungumza na mkulima stadi  wa Namtumbo, Bosco Luambano ambaye 
alimzawadia Waziri Mkuu mikungu miwili ya ndizi katika mkutano wa 
hadhara  katika mji mdogo wa Namtumbo. Alikuwa katika ziara ya mkoa wa 
Ruvuma

 Waziri
  Mkuu Mizengo Pinda akiwashukuru wazee wa Mji Mdogo wa Namtumbo bada ya
 kutawazwa kuwa moja wa wazee wa mji huo katika mkutano wa hadhara 
uliofanyika kwenye uwanja wa michezo  Julai 16, 2013. Alikuwa katika 
ziara ya mkoa wa Ruvuma.

 Waziri
 Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa machinjio ya 
kisasa katika mji mdogo wa Namtumbo akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma
 Julai 16, 2013.

Waziri
 Mkuu, Mizengo Pinda akizundua  mitambo ya kuzalisha umeme katika mji 
mdogo wa Namtumbo akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 16, 2013. 
Kushoto ni Naibu Wairi wa Nishati na Madini Stephen Masele.

Waziri
 Mkuu, Mizengo Pinda  na mkewe Tunu (kushoto) wakisalimiana na 
Mkurugenzi wa  Kanisa la  Upendo wa Kristo Masihi  (KIUMA), Dr. Matomola
 Matola  (wapili kuli) baada ya kuwasili katika misheni hiyo kuweka jiwe
 la msingi la Chuo cha Elimu cha Misheni hiyo, Julai 15, 2013.

 Waziri
 Mkuu, Mizengo Pinda akiweka jiwe la Msingi la Chuo cha Elimu cha Kanisa
 la Upendo wa Kristo Masihi (KIUMA) wilayani Tunduru akiwa katika iara 
ya mkoa wa Ruvuma Julai 15,2013.

 Waziri
 Mkuu, Mizengo Pinda akisikiliza maswali kutoka kwa baadhi ya wananchi 
wa Tunduru katika mkutano wa hadhara aliohutubia kwenye uwanja wa 
michezo akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 15, 2013.

 Mmoja
 wa wananchi wa Tunduru akimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pindawakati 
alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa michezo wa Tunduaru 
 akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 15, 2013. 

 Waziri
 Mkuu,Mizengo Pinda  akizungumza  kabla ya kuweka jiwe la msingi la Chuo
 cha Elimu cha Kanisa la Upendo wa Kristo Masihi (KIUMA) wilayani 
Tunduru akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 15, 2013. 

 Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza na Mkrugenzi wa Kanisa la Upendo  wa
 Kristo Masihi , Dr. Matomola Matomola kabla ya kuweka jiwe la Msingi la
 Chuocha Elimu cha Kanisa hilo wilayni Tunduru akiwa katika ziara ya 
mkoa wa Ruvuma. 

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wazee wa Tunduru kwenye Ikulu ndogo ya Tunduru akiwa katika ziara ya mkoa wa Ryvuma Julai 15, 2013.  Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Thabiti Mwambungu.Picha Zote na Ofisi ya Waziri Mkuu
EmoticonEmoticon