Rais JK leo alipokutana na Wawakilishi wa Makampuni ya Sim bongo,
Ikulu.
|
Rais Kikwete ametoa agizo
mamlaka zote husika zikae chini kutatua haraka mzozo wa kodi ya sim card ili
kumaliza malalamiko ya wananchi.
Rais Kikwete ametoa agizo
hilo jioni hii alipokutana na viongozi wa wizara ya fedha, sayansi mawasiliano
na teknolojia, TCRA na wawakilishi wa makampuni yote ya simu Tanzania.
Lengo ilikuwa kujadili mzozo huo.
Lengo ilikuwa kujadili mzozo huo.
Rais JK leo alipokutana na Wawakilishi wa Makampuni ya Sim bongo,
Ikulu.
Rais Kikwete ametoa agizo
mamlaka zote husika zikae chini kutatua haraka mzozo wa kodi ya sim card ili
kumaliza malalamiko ya wananchi.
Rais JK leo alipokutana na Wawakilishi wa Makampuni ya Sim bongo,
Ikulu.
|
RAIS JK ATOA AMRI YA KUMALIZWA TATIZO LA KODI MPYA TATA YA SIM!!
Rais JK leo alipokutana na Wawakilishi wa Makampuni ya Sim bongo, Ikulu. |
Rais Kikwete ametoa agizo mamlaka zote husika zikae chini kutatua haraka mzozo wa kodi ya sim card ili kumaliza malalamiko ya wananchi.
Rais Kikwete ametoa agizo hilo jioni hii alipokutana na viongozi wa wizara ya fedha, sayansi mawasiliano na teknolojia, TCRA na wawakilishi wa makampuni yote ya simu Tanzania.
Lengo ilikuwa kujadili mzozo huo.
EmoticonEmoticon