MATUKIO YA WASANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA NYUMA YA PANZIA

 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Mchizi Mox akisalimiana na msanii mwenzie Mwana FA walipokutana katika tamasha la matumaini lililofanika hivi karibuni jijini Dar es Salaam
 Msanii kutoka Kenya Prezzo akiwa na baadhi ya wasanii watanzania pamoja na mtangazaji wa EATV kabla ya kupanda jukwaani katika tamasha la Matumaini


 H. Baba akiwa pamoja na Kala Pina wakizungukwa na mashabiki wa bongo fleva
 Kala Pina akishoo love na shabiki wake
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond akishuka kwenye gari alipowasili kiwanjani hapo
Previous
Next Post »