CHEKA NA KITIME OBAMA RAIS WA TANZANIA? USHAHIDI HADHARANI



Katika kile ambacho aidha kitaleta mapinduzi makubwa au kitapata Chekanakitime Awards 2013, TV moja maarufu imetangaza rasmi kuwa Obama ni Rais wa Tanzania. TV hiyo ambayo huwezi kuiona mpaka utumie king'amuzi imeamua kubadili uongozi wa nchi hii kinyemela, wachunguzi wa mambo wamesema labda kwa kuwa inapiga sana video za Hiphop kwa hiyo imeamua kutangaza Rais huyo ambayo nchi yake ndio chanzo cha Hiphop. Ili mwenyewe ajue tumepata taarifa ya kuingia uongozi kinyemela tutanaandika kikwao.
Congrachuleshens Sir for being choosed for Presdent of Tanzania. Dokii will sing a song for you tumoro at One Coconut Gardens. Problem sir is Mr Mtikila he will say no and will go to court, but hiphop pipo will say yea yea u know what I am say? But sir this is not democracy to be presdent without kura of maoni. And ze Kenya pipoz will be vere angry so pliz don't be Kigogo of zis country
Previous
Next Post »