MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA HAUTAWEZA KUFIKA LEO JUMAPILI KAMA ILIVYOPANGWA.SOMA ZAIDI HAPA

 

  

Kamati ya msiba tunaomba kutoa taarifa  kwamba mwili wa marehemu  ndugu yetu Albert Magwair hautafika siku ya jumapili ya tarehe 02/06/2013 kama ilivyokua imepangwa hapo awali  hiin ni kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu.Kwa sasa tunasubiria taarifa kamili kutoka kwa wawakilishi waliopo Afrika kusini mara tutakapopata taarifa hizo tutawafahamisha zaidi.

Tunaomba radhi kwa watanzania wote kwa usumbufu wote uliojitokeza tuendelee kuvumilia

Previous
Next Post »