RAIS KIKWETE AOMBEA AMANI NA MAASKOFU, ATEMBELEA WAFIWA NA MAJERUHI WA BOMU ARUSHA

 

 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mke wake Mama Salma Kikwete wanajiunga na maaskofu wa makanisa mbalimbali katika kuombea amani Tanzania alipokwenda nyumbani kwa Askofu Mkuu wa Katoliki Jimbo la Arusha Archbishop Josephat Lebulu (mwenye kanzu nyeupe) kabla ya kwenda kuhani misiba ya watu watatu waliofariki katika mlipuko wa bomu jijini humo Jumapili iliyopita. Pia alitembelea majeruhi waliolazwa katika hospitali ya Mtakatifu Elizabeth na ya Mount Meru ambako aliwapa pole majeruhi 31 kati ya 64 waliolazwa hadi sasa.

Previous
Next Post »