Waimbaji Wa
Christ Ambassadors kutoka Rwanda walishuka Kutoka Jukwaani na kugusa wanakazi wa
jiji la dar na wimbo wao "Kwetu Pazuri"
Mwanamuziki
Wa Injili wa Tanzania Upendo Kilahiro akienda sawa Siku Ya
Leo
Upendo
Nkone akiwa Jukwaaani
Anastazia
Mukabwa kutoka Kenya akiwa na Rose Muhando ambao kwa pamoja wameimba wimbo wa
"Kiatu Kivue"
Christ Ambassadors Choir wakiwa tayari kwa ajili ya Kazi.
Solomoni
Mukubwa akiwa anapadna Stejini tayari kwa ajili ya Kuimba siku ya
leo
Ephrahim
Sekeleti Mwuimbaji Kutoka Zambia akiwa George Mpella na Hudson
Kamoga
Glorious
Worship Team wakienda Sawa siku Ya Leo
Malkia wa
Muziki wa Injili Rose Muhando akiwa Kikazi
Zaidi
Ephrahim
Sekeleti akienda Sawa Siku Ya leo
Sipho
Makabane akiwa kikazi Zaidi siku Ya leo
Sehemu Ya
Umati Wa Watu
Rose
akiendelea na Kazi huku Waandishi na Walinzi wakiwa
wamemzunguka
Sipho
akijiandaa kuingia Jukwaani
Pole Pole
akisogelea Umati Wa watu
Koti Likawa
Zito
Kikazi
Zaidi
Hapa
wakitengeneza Tangazo la Chomoza
Bon
Mwaitege akiwa mbele ya Camera Man Ray wa Clouds
Tv.
Sipho
akienda Sawa na Wananchi siku ya leo
Watu
Nyomiiiii
Wakati
Sipho akiimba ni kama ilikuwa Mchaka Mchaka Kulia ni Anastazia, Rose Muhando
Upendo Nkone na Solomon wakimpa Support Sipho.
John Lisu
EmoticonEmoticon