TAMASHA LA PASAKA 2013 LA MSAMA

 


Waimbaji Wa Christ Ambassadors kutoka Rwanda walishuka Kutoka Jukwaani na kugusa wanakazi wa jiji la dar na wimbo wao "Kwetu Pazuri"



Mwanamuziki Wa Injili wa Tanzania Upendo Kilahiro akienda sawa Siku Ya Leo



Upendo Nkone akiwa Jukwaaani





Anastazia Mukabwa kutoka Kenya akiwa na Rose Muhando ambao kwa pamoja wameimba wimbo wa "Kiatu Kivue"

Christ Ambassadors Choir wakiwa tayari kwa ajili ya Kazi.

Solomoni Mukubwa akiwa anapadna Stejini tayari kwa ajili ya Kuimba siku ya leo



Ephrahim Sekeleti Mwuimbaji Kutoka Zambia akiwa George Mpella na Hudson Kamoga


Glorious Worship Team wakienda Sawa siku Ya Leo


Malkia wa Muziki wa Injili Rose Muhando akiwa Kikazi Zaidi



Ephrahim Sekeleti akienda Sawa Siku Ya leo


Sipho Makabane akiwa kikazi Zaidi siku Ya leo


Sehemu Ya Umati Wa Watu



Rose akiendelea na Kazi huku Waandishi na Walinzi wakiwa wamemzunguka


Sipho akijiandaa kuingia Jukwaani


Pole Pole akisogelea Umati Wa watu


Koti Likawa Zito


Kikazi Zaidi


Hapa wakitengeneza Tangazo la Chomoza


Bon Mwaitege akiwa mbele ya Camera Man Ray wa Clouds Tv.


Sipho akienda Sawa na Wananchi siku ya leo


Watu Nyomiiiii


Wakati Sipho akiimba ni kama ilikuwa Mchaka Mchaka Kulia ni Anastazia, Rose Muhando Upendo Nkone na Solomon wakimpa Support Sipho.


John Lisu


 
Previous
Next Post »