Polisi Wavamia Nyumba Ya Diddy

 


Diddy

Polisi na Helikopta mbili za polisi walivamia Nyumba ya Diddy iliyopo Los Angelos Marekani Usiku wakuakia Leo . Lakini habari zilizotoka kwenye vyomba vya usalama zilisema kuwa tukio hilo lilikuwa la bahati mbaya
Habari zilizotoka polisi zilisema kuwa Kuna Mtu alipiga simu polisi kuwa ndani nyumba ya Diddy kuna mtu anarusha risasi.
Baadae polisi na wakubwa wengine walipojua kuwa ni mchezo mwingine unaofanyiwa wasani wakubwa marekani waliamukuondoka katika tuukio hilo.

TMZ wanasema kuwa waliambiwa kuwa Tukio hilo lilikuwa limepangiwa kufanyiwa kwa muigizajiSteve Carell ambapo nyumba yake ilikuwa imezungukwa na Polisi wengi kwasababu ilikuwa karibu na nyumba ya Diddy.
Hapa ndio nje kwa Diddy

Inasemekana Diddy sio staa wa kwanza kufanyiwa tukio hilo, kuna baadhi ya mastaa walishawahi kufanyiwa hivyo kama vile nyumbani kwa wazazi wa Miley Cyrus mwaka jana Walifanyiwa kitendo hicho hicho.
Polisi wamesema kuwa matukio hayo yakutishia ya mekuwa ya kudumu na sugu sasa wamesema watamshitaki kwa sheria kali kwa yeyote atakayefanya tena tukio kama hilo.
Previous
Next Post »