Lionel Messi wa Barcelona
akifurahia baada ya kufunga goli la pili dhidi AC Milan. Barcelona imefunga AC
Milan 4 - 0 na hivyo kusonga mbele katika hatua ya robo
fainali
|
Wachezaji wa Barcelona
wakifurahia baada ya kupata goli
|
|
David Villa akishangilia
baada ya kufunga goli dhidi ya AC Milan
|
|
David Villa kulia wa
Barcelona na Kelvin Costant wa AC Milan wakiwa
kazini
|
|
Gerrald Pique wa Barcelona
akifurahia moja ya magoli yaliyofungwa na Barcelona dhidi ya AC
Milan
|
|
Lionel Messi wa Barcelona
akijaribu kumchomoka Kevin Costant wa AC
Millan
|
|
Prince Boateng wa AC Milan
akihuzunika baaada ya kufungwa na Barcelona
|
|
Lionel Messi akifurahia baada
ya kufunga goli dhidi ya AC Milan
|
|
Philippe Mexes wa AC Milan
akishangaa baada ya kufungwa na Barcelona
|
|
Gerrald Pique (kulia) na
wenzanke akifurahia moja ya magoli yalifungwa na Barcelona
|
|
EmoticonEmoticon