Gari inayosafirisha magazeti ya Mwananchi kuelekea Mbeya na Iringa ikiwa imepata ajali Eneo la Kitonga Iringa leo
Watu wawili wamefariki dunia Papo hapo baada ya Gari walilokuwa wakisafiria iliyobeba Magazeti
ya Mwananchi,The Citizen na Mwanaspoti kwenda mkoani Mbeya kupata
ajali Eneo la Kitonga Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa
Ajali
hiyo imetokea leo alfajiri baada ya dereva wa Gari hilo kujinusuru
kugongana USO kwa USO na GARI jingine hivyo kulazimika kuingia nyuma ya
lori na kupelekea kifo chao .
Kwa
mujibu wa Wakala Afisa mauzo wa magazeti ya Mwananchi Mkoa wa Iringa
Alex Kadea ambae alifika Eneo la tukio ameithibitishia mtandao huu wa
www . Matukiodaima.co.tz kuwa waliofariki dunia wote wawili walikuwa ni
madereva wa Gari hilo .
EmoticonEmoticon