KONA YA JAMII
NEWSMtu mmoja anayesadikiwa kuwa jambazi ameuawa katika mapambano na askari polisi katika kijiji cha Kibande wilayani Buhigwe mkoani Kigoma
Mtu mmoja anayesadikiwa kuwa jambazi ameuawa katika mapambano na askari polisi katika kijiji cha Kibande wilayani Buhigwe mkoani Kigoma
Mtu
mmoja anayesadikiwa kuwa jambazi ameuawa katika mapambano na askari
polisi katika kijiji cha Kibande wilayani Buhigwe mkoani Kigoma baada ya
polisi kutaka kuwakamata majambazi watatu waliokuwa wakijiandaa kufanya
uharifu katika tukio hilo ambalo lilipelekea bunduki moja ya kivita na
risasi 72 kukamatwa.
EmoticonEmoticon