MAKONGORO NYERERE APOKEA TUZO YA UTUMISHI ULIOTUKUKA KWA NIABA YA FAMILIA YA HAYATI MWL.JULIUS NYERERE KUTOKA KWA VIONGOZI WA DINI


Shehe wa mkoa wa mbeya  kulia Ndugu Mohamed Mwansansu pamoja na Askofu Thomas Kongolo mwakilishi wa jukwaa la wakristo mkoa wa mbeya kwa pamoja wakimkabidhi tuzo Mheshimiwa Makongoro Nyerere (Mb) afrika mashariki kwa niaba ya familia ya Hayati Baba wa taifa Mwl.Julias Nyerere tuzo ambayo imetolewa na viongozi hao wa dini kwa kutambua mchango na utumishi uliotukuka kwa Baba wa taifa mwalimu Nyerere , hafla ambayo imefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mkapa jijini mbeya Mei 25 mwaka huu.









Makongoro Nyerere akizungumza katika hafla hiyo




Viongozi mbalimbali wa kidini.Siasa na wananchi mbalimbali wa jiji la mbeya wakimsikiliza kwa makini Mheshimiwa Makongoro Nyerere mara baada ya kupokea tuzo kutoka kwa viongozi hao wa dini ambayo imelenga kutambua mchango na utumishi uliotukuka kwa Hayati Baba wa Taifa Mwl.Julias Nyerere Mei 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mkapa jijini Mbeya .















Picha ya pamoja






Previous
Next Post »