li> EMMANUEL KIGARO: Ni mlemavu anaomba msaada wa basikeli ya kuendesha kwa mikono kwa wasamalia wema wanaoweza kumsaidia.

EMMANUEL KIGARO: Ni  mlemavu anaishi kijiji cha Mwamigongwa kata ya Malili wila ya busega Mkoa mpya wa simiyu anaomba msaada wa baiskeli ya kuendesha kwa mikono  kwa yeyote atakaye guswa  ukitaka kumsaidia wasiliana nami au wasiliana naye kwa  no: 0768992413

Previous
Next Post »