Askari wa kikosi cha Zimamoto wakifika eneo la tukio asubuhi hii
Moto ukiendelea
Juhudi zikiendelea. Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Transforma zinazosambaza umeme katika maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi Mkoani Kilimanjaro zilizoko eneo la Bomambuzi zimewaka moto asubuhi hii muda mfupi baada ya kutokea shoti ambayo haijafahamika chanzo chake ni nini.
Moto huo umetokea majira ya saa 1:10 na kusababisha maeneo kadhaa ya mji wa Moshi kukosa umeme hadi sasa.
Globu ya jamii imeshuhudia kikosi cha zimamoto kutoka manispaa ya moshi kikijaribu kuzima moto huo ambao hata hivyo ulikwisha teketeza sehemu kubwa ya kituo hicho cha kupozea umeme.
Askari wa kikosi cha Zimamoto wakifika eneo la tukio asubuhi hii
Moto ukiendelea
Juhudi zikiendelea. Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Transforma zinazosambaza umeme katika maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi Mkoani Kilimanjaro zilizoko eneo la Bomambuzi zimewaka moto asubuhi hii muda mfupi baada ya kutokea shoti ambayo haijafahamika chanzo chake ni nini.
Moto huo umetokea majira ya saa 1:10 na kusababisha maeneo kadhaa ya mji wa Moshi kukosa umeme hadi sasa.
Globu ya jamii imeshuhudia kikosi cha zimamoto kutoka manispaa ya moshi kikijaribu kuzima moto huo ambao hata hivyo ulikwisha teketeza sehemu kubwa ya kituo hicho cha kupozea umeme.
Artikel Menarik Lainnya
Rais Magufuli kavutiwa na kipindi cha Clouds 360 mpaka akaamua apige simu hii studio
Ushawahi ona basi la abiria ambalo ni nyumba ya kuishi inayotembea ndani ina kila kitu muhimu.tazama hapa
Picha na video ya Wanandoa waliovunja rekodi ya kuwa warefu zaidi Duniani. Siku chache zilizopita Rekodi ya mtu mfupi zaidi Duniani ilibaki wazi, aliyekuw
Hali Ilivyokuwa Nyumbani Kwa Gwajima jana Baada Ya Kuzingirwa Na Jeshi La Polisi Askari wakiwa nyumbani kwa Gwajima. Makamanda wa polisi wakiwa ta
Watu wawili wamethibitishwa kupoteza maisha huku mmoja akiwa mahututi baada ya kufukiwa na kifusi eneo la kawe Ukwamani Watu wawili wamethibitishwa kupoteza maisha huku mmoja akiwa mahututi na jitihada za kumu
HAPA WAPI
EmoticonEmoticon