Askari wa kikosi cha Zimamoto wakifika eneo la tukio asubuhi hii
Moto ukiendelea
Juhudi zikiendelea. Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Transforma zinazosambaza umeme katika maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi Mkoani Kilimanjaro zilizoko eneo la Bomambuzi zimewaka moto asubuhi hii muda mfupi baada ya kutokea shoti ambayo haijafahamika chanzo chake ni nini.
Moto huo umetokea majira ya saa 1:10 na kusababisha maeneo kadhaa ya mji wa Moshi kukosa umeme hadi sasa.
Globu ya jamii imeshuhudia kikosi cha zimamoto kutoka manispaa ya moshi kikijaribu kuzima moto huo ambao hata hivyo ulikwisha teketeza sehemu kubwa ya kituo hicho cha kupozea umeme.
Askari wa kikosi cha Zimamoto wakifika eneo la tukio asubuhi hii
Moto ukiendelea
Juhudi zikiendelea. Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Transforma zinazosambaza umeme katika maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi Mkoani Kilimanjaro zilizoko eneo la Bomambuzi zimewaka moto asubuhi hii muda mfupi baada ya kutokea shoti ambayo haijafahamika chanzo chake ni nini.
Moto huo umetokea majira ya saa 1:10 na kusababisha maeneo kadhaa ya mji wa Moshi kukosa umeme hadi sasa.
Globu ya jamii imeshuhudia kikosi cha zimamoto kutoka manispaa ya moshi kikijaribu kuzima moto huo ambao hata hivyo ulikwisha teketeza sehemu kubwa ya kituo hicho cha kupozea umeme.
Artikel Menarik Lainnya
Watoto hawa wasafiri kwenye chasis ya basi kutoka Kahama mpaka Singida 12.00 Hii ni Moja ya story kubwa kuripotiwa na kituo cha ITV watoto watat
WAGOMBEA URAIS WA CCM WAKWEPA KUFIKA KWENYE MDAHALO, MUANDAAJI AZUNGUMZA...KAULI YAKE IKO HAPA JANA June 08 2015 kulikuwa na mdahalo wa Wagombea wa Urais TZ ambao wanawakilisha&nb
Afisa uhamiaji akimbana Mchina kwa kuishi nchini 'kinyemela'
THIS IS AMAIZING
VIJANA WALIOSAFIRI KWA BAISKELI KUTOKA MBEYA KWENDA IKULU KUMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS KWA UONGOZI WAKE WAFANIKISHA LENGO LAO Ukiweka malengo au lengo ya kufanya jambo fulani haijalishi kwako itakuchukua muda gani, yataku
IRENE KIWIA FROM TANZANIA WON WOMAN OF THE YEAR AFRICA AWARD Africa Reconnect awards 11 outstanding African
EmoticonEmoticon