HATA KAMA WANAMAKOSA KUWAFANYA HIVI SI SAHIHI JAMANI KHAAAA Anonymous 13:08 Anonymous Mwizi aliyetoroka kituo cha akiwa chini ya ulinzi wa raia wenye hasira kali maeneo ya vingunguti msimbazi. Raia wakipanga kumchoma moto kibaka huyo. Kibaka aliyetoroka kituo cha polisi Tabata hatimaye kukukamatwa majira ya saa tano asubuhi maeneo ya msimbazi vingunguti na kurudishwa kituoni. Twitter Facebook Google Tumblr Pinterest Artikel Menarik Lainnya
EmoticonEmoticon