NIKIANGALIA PICHA HII NAWAZA SANA HEBU ANGALIA MTOTO HUYU SURA YAKE YAHUZUNISHA


D92A7268Mtoto Gloria Fusi mwenye umri wa miaka saba anayesoma darasa la kwanza katika shule ya msingi Utwango wilayani Namtumbo akiandika jina lake katika Notebook ya Mama Salma Kikwete wakati Rais Kikwete aliposimama katika kijiji cha Utwango kuwasalimia wananchi akiwa njiani kuelekea mjini Namtumbo akitokea Songea mjini. Mtoto Gloria alimsalimia Mama Kikwete kwa uchangamfu na ndipo Mama Salma alipomuuliza kama anajua kuandika jina lake na hivyo kumpatia notebook yake na mtoto huyo bila kusita aliandika vizuri jina lake.
Previous
Next Post »