Fikiria kufanya biashara ambayo utauza kitu ambacho kitakuwa na bei ndogo halafu uwafikie watu wengi kadri uwezavyo. Natoa mfano mdogo wa jinsi wa kuwa Milionea ndani ya mwezi mmoja.
Mfano:
Kuwa mbunifu kisha uje na idea ya kuuza utakachokuwa umekifikiria kwa bei ya shilingi 700 tu. Katika hiyo sh. 700, sh. 500 iwe ni gharama za uendeshaji kama kulipa wasaidizi wako, bills, rent na kodi (TRA) kisha hicho kitu uwauzie watu milioni moja tu kwa mwezi katika nchi hii yenye watu zaidi ya milioni 44.
Kwa maana hiyo itakuwa:
700(bidhaa)x1000000(watu)=700, 000,000
Ukitoa sh.500 kwa kila hiyo bidhaa yako kama gharama ya uendeshaji utabakiwa na sh. 200,000,000(milioni mia mbili) ndani ya mwezi na kwa mwaka mmoja utakuwa na zaidi ya Bilioni moja.
SWALI:
Ni biashara gani gani hiyo? Hapo ndipo tunahitaji muda wa kufikiri kiubunifu zaidi.
Ukiweza kupata idea ya namna hiyo ndani ya mwezi mmoja unakuwa milionea,
MCHUNGUZI HURU
Jamii Forum
Artikel Menarik Lainnya
JIWEKE NADHIFU USONI NA MWILI KWA UJUMLA..HII NDIYO CREME HALISI KWA AJILI YAKO Je unasumbuliwa na Michirizi ya viwembe Chunusi Miwasho ya nepi Ngozi kavu ku
BMW, Mwaka 2004 iko kwenye hali nzuri imetembea 8000 miles,iko Uingereza, kusafirishiwa hadi Zanzibar ni £800,hadi Dar es Salaam ni £1000.Bei ya gari ni £5000..Call/Text or Whatsapp +447758158421. Starlet Glanza,Mwaka 1998, Auto hatckback, Speed yake 190,
KARIBUNI KARIBUNI KARIBUNI SANAAAAAA Je unajua FAB inakiwango kidogo sana cha calouries.Ni Aloe vera yenye vitamini na madini na hu
TENGENEZA AFYA YAKO KWA KUTUMIA BIDHAAA HIZI Je unajua FAB inakiwango kidogo sana cha calouries.Ni Aloe vera yenye vitamini na madini na husa
Tanzania: Taking Steps to Enhance Fiscal Sustainability A team from the International Monetary Fund (IMF), led by Paolo Mauro, visited Tanzania during
New Gas Discoveries to Save Tanzania $1bn Annually Tanzania’s current natural gas reserves now stand at about 55 trillion cubic fe
EmoticonEmoticon