Ukitaka kuwa Milionea ndani ya Mwezi mmoja fanya hivi


Fikiria kufanya biashara ambayo utauza kitu ambacho kitakuwa na bei ndogo halafu uwafikie watu wengi kadri uwezavyo. Natoa mfano mdogo wa jinsi wa kuwa Milionea ndani ya mwezi mmoja.

Mfano:
Kuwa mbunifu kisha uje na idea ya kuuza utakachokuwa umekifikiria kwa bei ya shilingi 700 tu. Katika hiyo sh. 700, sh. 500 iwe ni gharama za uendeshaji kama kulipa wasaidizi wako, bills, rent na kodi (TRA) kisha hicho kitu uwauzie watu milioni moja tu kwa mwezi katika nchi hii yenye watu zaidi ya milioni 44.

Kwa maana hiyo itakuwa:
700(bidhaa)x1000000(watu)=700, 000,000

Ukitoa sh.500 kwa kila hiyo bidhaa yako kama gharama ya uendeshaji utabakiwa na sh. 200,000,000(milioni mia mbili) ndani ya mwezi na kwa mwaka mmoja utakuwa na zaidi ya Bilioni moja.

SWALI:
Ni biashara gani gani hiyo? Hapo ndipo tunahitaji muda wa kufikiri kiubunifu zaidi.

Ukiweza kupata idea ya namna hiyo ndani ya mwezi mmoja unakuwa milionea,
MCHUNGUZI HURU

Jamii Forum 
Previous
Next Post »