
Watu wangu!! kwanza namshukuru Mungu muweza wa yote... shukrani kubwa zinazofata ni zako mtu wangu ulienipigia kura, uliefanya kampeni kwenye page yako na kunitag na hata ulieshindwa kupiga kura lakini love yako ilikua kwangu! nyinyi ndio mmeifanya #June272014 kuwa siku yangu nyingine kubwa baada ya kushinda tuzo zote mbili nilizokua nawania ktk#tuzozawatu2014 #MtangazajiAnaependwa na#kipindicharediokinachopen
EmoticonEmoticon