Waandamanaji hao wenye hasira zaidi wapo kwenye miji ya SAO Paolo na Rio De Jeneiro, ambapo wanarusha mawe kwa Police na kuchoma matairi barabarani kuzuia barabara kutumika huku police wakiwatupia mabomu ya machozi na kuwasambaratisha. Waandamanaji hao wameahidi kuwa maandamano hayo yatazidi kuongezeka zaidi mshindano hayo yanavozidi kukaribia.
KONA YA JAMII
NEWS
SPORTS
Maandamano ya kupinga “World Cup 2014″ ndani ‘Sao Paulo’ na Rio De Jeneiro.
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon