RAIS WA KENYA ASAINI SHERIA YA KURUHUSU WANAUME KUOA ZAIDI YA MKE MMOJA



Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amewahalalishia wanaume wa Kenya kuoa wanawake wengi kadri wanavyoweza!

• Rais Uhuru leo ametia saini muswada uliopitishwa na bunge la kenya kuwa wanaume waoe wanawake wengi kadri iwezekanavyo kufuatia uwiano wa kijinsia ulivyotofauti na pia kudumisha mila za kiafrika!

• Ijapokuwa Muswada huo ulipata kupigiwa kelele na wanaharakati pamoja na watetezi wa haki za wanawake na pamoja na baadhi ya taasisi za Kikristo ila leo umekuwa sheria RASMI. 
Previous
Next Post »