MAJAMBAZI YAWAPIGA RISASI WACHINA NA KUWAPORA FEDHA Anonymous 07:50 Anonymous Baadhi ya wananchi wakiwa eneo la tukio. Majambazi yamewapiga risasi raia wa China na kuwapora begi linalodaiwa kuwa na fedha hivi punde eneo la Morocco, Kinondoni jijini Dar es Salaam. CRD: GPL Twitter Facebook Google Tumblr Pinterest Artikel Menarik Lainnya
EmoticonEmoticon