KWAKWELI NIKIWA NAONA PICHA KAMA HIZI NATOKWA MACHOZI NAKUJIULIZA NIWASAIDIEJE INAUMIZA SANA



Haya ndio maisha ya mtanzania wa kijijini mtoto huyo yupo kazini anauza miwa ili apate pesa ya kulipia ada ya shule kwa sasa kasimamishwa shule mpaka alipe ada ndipo aendelee na masomo ee mungu mjalie mtoto huyo.


Previous
Next Post »