![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-frc3/t1.0-9/10015160_692847450758676_1324044695_n.jpg)
Uwasilishaji wa rasimu ya katiba.
Jaji Warioba anawasilisha Rasimu ya Katiba kwa takribani saa nne. Ameanza saa 3.30 asubuhi hadi saa 7.30 mchana.
Kikao cha maridhiano kilimalizika saa 4 usiku wa jana baada ya Bunge kuahirishwa.
Mungu Ibariki Tanzania!
EmoticonEmoticon