KINACHOENDELEA KWA SASA KATIKA BUNGE LA KATIBA



Uwasilishaji wa rasimu ya katiba.


Jaji Warioba anawasilisha Rasimu ya Katiba   kwa takribani  saa nne. Ameanza saa 3.30 asubuhi hadi saa 7.30 mchana.

Kikao cha maridhiano kilimalizika saa 4 usiku wa jana baada ya Bunge kuahirishwa.

Mungu Ibariki Tanzania!
Previous
Next Post »