WATANGAZAJI wa Clouds FM,Zamaradi Mketema na Gea Habib wantarajia kuwa majaji katika fainali ya shindano la kigoli zinatarajiwa kufanyika Jumapili hii,Des.8 katika ukumbi wa Bizzines Parck,Kijitonyama,Dar ambapo mshindi wa kwanza atajinyakulia mkoko aina ya Nissan March, wenye thamani ya shs.million 8.
SOURCE:
EmoticonEmoticon