AZAM YAINYUKA SIMBA 2-1, YAKAMATA USUKANI WA LIGI



Timu ya Soka ya Azam FC leo imefanikiwa kuiondoa Simba katika usukani wa Ligi Kuu soka Tanzania bara baada ya kuichapa goli 2-1 katika mchezo wa 11 wa timu hizo kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania bara. magoli ya Azam yalifungwa na Kipre Chetche  huku la Simba likifungwa na Ramadhan Singano 'Messi'.

Pos.LogoClubPWDLGFGAGDPts
1Azam FCAzam FC116501771023
2Simba SCSimba SC1155121101120
3Mbeya City FC10550137620
4Young Africans FCYoung Africans SC1054121111019
5Mtibwa Sugar FCMtibwa Sugar FC104421611516
6Ruvu Shooting Stars114431310316
7Kagera Sugar FCKagera Sugar FC114431210216
8Coastal Union SC1026265112
9JKT Ruvu StarsJKT Ruvu Stars10406911-212
10Ashanti United112451018-810
11Tanzania Prisons10154613-78
12Rhino Rangers10145815-77
13JKT Oljoro FC11146716-97
14JKT MgamboJKT Mgambo10127318-155

Previous
Next Post »