UJUMBE WA WAFANYABIS​HARA WA CHINA WAWASILI ZANZIBAR

01 981d7 Naibu Meya wa Jiji la Xiamen nchini China Mr. Kang Tao akibadilishana mawazo na Balozi mdogo wa China Madam Chen Qiman mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Zanzibar kwa ziara ya siku mbili kuja kuangalia fursa za uwekezaji na kubadilishana mawazo na Wafanyabishara wa Zanzibar
Previous
Next Post »