Mabaki ya
nyumba ya Chesco Mbwilo baada ya kubomolewa na wananchi wenye hasira
katika kijiji cha Kiwere kufuatia mtuhumiwa wa ubakaji ambaye ni mmiliki
wa nyumba hiyo kuachiwa kwa dhamana mahakamani na kurudi kijijini. (HM)
Mabaki ya mkokoteki wa kusukumwa na punda yakiwa yanaaendelea kuteketea baada ya kuchomwa na wananchi wenye hasira kali kufuatia mtuhumiwa wa ubakaji, Chesco Mbwilo kuachiwa kwa dhamana Mahakamani na kurudi kijijini Kiwere wilayani Iringa.
EmoticonEmoticon