Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiongozana na baadhi ya viongozi wakati akitembelea kukagua shughuli za
usafi wa mazingira katika Kituo cha Mabasi cha Amani Mbagala Zakhiem,
alipokuwa kwenye ziara yake kutembelea na kukagua shughuli za usafi Mkoa
wa Dar es Salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiangalia Mtaro wa maji machafu uliopo Mayfear Plaza Mikocheni
EmoticonEmoticon