Jaggar yuko mbioni kureleaze project yake mpya Nyimbo inaitwa some dayz-jaggar ft bupe imefanyika mahewa records chini ya producer wille Jaggar ambaye ni msanii wa kufokafoka maarufu kama hip hop ameshawahi kutoa nyimbo ya Sauti zetu mwaka jana ambayo alimshirikisha Bell 9 na ilifanya poa na sasa baada ya kumaliza masomo yake anatarajia kuachia ngoma mpya ya some dayz ambayo kamshirikisha mwimbaji wa injili Bupe tumpe sappot kijana wetu.Tunakutakia kila la kheri Jagger
Uncategories
MSANII WA MUZIKI ABDUL JAGGAR MAARUFU KAMA JAGGAR KUACHIA SINGLE YAKE MPYA INAYOKWENDA KWA JINA LA SOME DAYZ
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon