Mkutano Mkuu wa 12 wa mwaka wa Vituo vya Elimu kwa njia ya Mtandao kutoka nchi 15 za Afrika(AADLC) wafanyika jijini Dar.

 

DSC07938_1

 

Katibu Mkuu ofisi ya Raisi na utumishi wa umma Bw. George Yambesi akijadiliana jambo na Rais wa (AADCL) na Mkurugenzi (DLC) kutoka Senegal Bwana Mor Seck kushoto kwa Bw. Yambesi ni Mkurugenzi mtendaji wa (TAGLA) Charles Senkoro.

DSC07939

 

Katibu mkuu wa ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma Bw. GEORGE YAMBESI amewataka wajumbe wa umoja wa vituo vya elimu kwa njia ya mtandao barani AFRIKA washirikiane na makampuni ya TEHAMA na simu za mikononi kuwafikishia elimu wananchi walio maeneo ya Vijijini Mkutano huo ni wa siku tatu.Pichani ni washiriki wa mkutano huo.

Previous
Next Post »