MAMA MZAZI WA ANDRE 3000 AFARIKI DUNIA



Mwakilishi wa mwanamuziki Andre 3000 amethibitisha kutokea kwa kifo cha mama yake mzazi Sharon Benjamin-Hodo, kutokana na Billboard.com
mama huyo alikutwa amekufa ndani ya nyumba yake iliyoko Atlanta siku ya jumatatu (May 27), siku ambayo ni siku ya kuzaliwa ya Andre 3000 akifikisha miaka 38.
mama yake na Andre alikuwa ni muanzilishi wa Starlight Camp kwa ajili ya watoto wasiojiweza, yenye kufanya kazi zake nje ya New Morning Light Missionary Baptist Church iliyoko Conley, Georgia.
Andre 3000 ni member wa kundi la OutKast.
Previous
Next Post »