Rais Kenyatta na Naibu wake William Rutto wamekuwa wakiwaahidi wananchi wa kenya kuwa wataunda safu yenye viongozi wachache, lakini iliyobora kwa lengo la kuweza kuhimili majukumu ya kuiendeleza Kenya na watu wake.
Kufuatia ahadi hiyo, Hivi karibuni Rais Kenyatta alitoa muundo wa wa serikali yake aliyotarajia kuiunda , ambapo alipunguza wizara kutoka 44 zilizokuwepo katika utawala wa mtangulizi wake Rais Kibaki na kubakiza wizara 18.
Endelea kufuatilia kujua majina ya mawaziri hao
EmoticonEmoticon