Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick akiwa katika eneo la tukio kusimamia zoezi la uokoaji. 
Kijiko kikiendelea kuondoa kifusi katika eneo la tukio
Wananchi wakishiriki katika zoezi la uokoaji kwa kuondoa taka na vifusi katika eneo hilo.Chanzo:fullshangweblog 
EmoticonEmoticon