Hili ndio Bus
lililogonga lenye namba za usajili T 690 BUW
Hawa ni
abilia wakieleza namna ya ajali ilivotokea leo maeneo ya kwa
Mburushi
Kamanda wa
Polisi wa Mkoa wa Ruvuma Bw. Deusdedit Nsimeki alie vua kofia akiwa katika eneo
la tukio maeneo ya kwa Mburushi
Hii ndio
pikipiki ya marehemu Steven Adam (62) yenye namba za usajili T 618
ATX
Umati wa
wasafiri wakiwemo wapita njia wakiangalia ajali hiyo mbayailiyotokea leo majira
ya saa moja asubuhi,
Bus la
Kampuni ya SAI – BABA EXPLESS lenye namba ya usajili T 690 BUW likiwa safarini
kuelekea Dar Es Salaam likitokea Songea limepata ajali leo majira ya saa moja na
nusu asubuhi maeneo ya kwa Mburushi mjini songea.
Bus hilo
limemgonga Dereva wa pikipiki (yeboyebo) ambaya ni mkazi wa Liumbu Mletele
aliejulikana kwa jina la Bw. Steven Adam (62) mfanya biashara ya maziwa
.
Marehem
Steven alikuwa akielekea mjini kupeleka maziwa yake kwa wateja ndipo alipotwa na
mahuti hayo. Kwa maelezo ya wasafiri wamesema mwenye makosa ni dereva Pikipiki
ambaye hakuwa makini barabari kwa kuendesha vibaya na kwamwendo kasi pasipo
kuzingatia sheria za barabarani
EmoticonEmoticon