BAADHI YA PICHA KUTOKA KWENYE HARUSI YA KIMILA YA STAA 2FACE IDIBIA WA NIGERIA Anonymous 06:53 Anonymous Baada ya kufanyika kwa harusi hii ya kimila jana march 8 2013, staa huyu anatarajia kufanya harusi nyingine Dubai siku kadhaa zijazo. Hii ni siku kadhaa zilizopita ambapo wapenzi hawa walikua wanapiga picha zitakazokua zinaonekana kwenye screen siku ya harusi yao Dubai. Twitter Facebook Google Tumblr Pinterest Artikel Menarik Lainnya
EmoticonEmoticon