kumbukumbu ya majimaji yafana songea

 
Mheshimiwa Balozi Hamisi Kagasheki (MB)Waziri wa Maliasili na Utalii akisalimiana na wageni toka Lichinga Msumbiji.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe Balozi Hamisi Kagasheki(MB) akisalimiana na Wazee wa Jadi.

Mhe Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Hamisi Kagasheki (MB) Akivalishwa Vazi la kijadi.
Mhe.Balozi Hamisi Kagasheki (MB)Waziri wa Maliasili na Utalii akiweka Ngao .
Baadhi ya wazee wakiwa wameshika Silaha za Jadi walizotumia mababu zetu kupigania dhidi ya kupinga utawala wa Wakoloni wa Kijerumani

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu akiweka Sime.
Kamanda wa Jeshi la wananchi akiweka upinde
Mpiganaji wa vita kuu ya pili ya Dunia Mzee Komba akisindikizwa na kamanda wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwenda kuweka shahada ya uwa katika mnala wa mashujaa.
Hii ni kwa nje npyo hali ilivyokuwa
Mhe Balozi Hamisi Kagasheki(MB)Waziri wa Maliasili na Utalii pamoja na viongozi wengine wakitoa salamu ya heshima kwa mashujaa wa majimaji
Hapo wanajeshi wakiendelea kutoasalamuza maombelezi kwa njia ya kijeshi
Kuinamisha kichwa chini ni dalili ya kumwomba mwenyezi Mungu awaweke Mahali pema Mashujaa walioo tangulia Mbele zahaki
Katika kuwakumbuka Mashujaa waliotangulia mbele za Haki Jeshi la Wananchi limeweka Utaratibu Maalumu ikiwa ni pamoja na kulipua mizinga na Fataki katika kuwakenzi Mashujaa.
Jeshi la Wananchi wa Tanzania likitoka nje ya Uwanja wa Mashujaa baada ya kumaliza taratibu zote za Maombolezo.
Baadhi ya wanafunzi wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe mzuri na wakuelimisha juu ya vita vya majimaji.
Moja ya wageni waliohudhuria toka mikoa mbalimbali pamoja na nchi jilani ya Mozambiq
Chief Emanuel Zulu akiweka shada katika kaburi la pamoja la mashujaa wa vita vya majimaji
Bw. Balthazali Nyamusya Mhifadhi Kiongozi Makumbuaho ya Taifa Maji Maji Songea

Hili ndilo Kaburi la halaiki walipozikwa mashujaa wa vita vya Maji Maji , watu waliozikwa hapa ni 66
Eneo hili walilozikwa mashujaa hawa limekuwa eneo muhimu.
Humu ni ndani ya Nyumba yenye vifaa vya kumbukukumbu na hapa inaonekana baadhi ya watu wakiona picha zenye vielelezo
Mhe.Balozi Hamisi Kagasheki akipewa maelezo juu ya Kaburi la Songea Mbano ambaye alizikwa peke yake na jina la Mji wa Songea limetokana na jina lake
Balthazar Nyamusya Mhifadhi Kiongozi wa Makumbusho Ya Taifa Maji Maji Sonhgea akitoa maelezo kwa
Mhe Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Hamisi Kagasheki (MB) alipokuwa akizuru ukumbi wa historia ya vita vya maji maji.Miongoni mwa vionyeshwa katika ukumbi wa historia ni zawadi iliyokabidhiwa na MeyaAugusto Assique wa Jimbo la Lichinga kwa kutambua mashirikiano ya kihistia na kitamaduni
Wazee wa Kimila wakibadilishana mawazo juu ya uwelewa wa kila mmoja kuhusu vita vya Majimaji
Baad
Wanakikundi cha Better Life wakitumbuiza katika sherehe za kumbukizi la Mashujaa wa vita vya Maji MAJI
Pichani ni Balozi Khamis Kahgasheki9m(MB),Dkt Rehema Nchimbi mkuu wa mkoa wa Dodoma na Kepten mstaafu Aseri Msangi RC njombe.
Mkuu wa mkoa wa ruvuma Bw. Said Thabiti Mwambungu akiteta jambo na Mhe.Balozi Hamisi Kagasheki (MB)Waziri wa Maliasili na Utalii akiweka Ngao .
Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma hukumbuka Mateso waliyoyapata Babu zao, Hapo wapo katika Viwanja vya Mashujaa Mahenge Manispaa ya Songea kushuhudia Maombolezo yaliyoongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Hamis Kagasheki.


Previous
Next Post »