SIMBA WAREJEA KUTOKA OMAN

 
Nahodha wa Simba SC, Juma Kaseja akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, baada ya kuwasili wakitokea Oman walipoweka kambi ya wiki mbili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.


Nahodha wa Simba SC, Juma Kaseja akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, baada ya kuwasili wakitokea Oman walipoweka kambi ya wiki mbili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.


Nahodha wa Simba SC, Juma Kaseja akizungumza na shabiki wa timu hiyo, Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam jioni hii baada ya kuwasili wakitokea Oman walipoweka kambi ya wiki mbili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.


Wachezaji wakmiwa kwenye basi lililowapakia kuwapeleka kambini


Mwanachama wa Simba, Makoye akimlaki Kocha Mfaransa Patrick Liewig


Kipa wa Simba SC, Abbel Dhaira akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, baada ya kuwasili wakitokea Oman walipoweka kambi ya wiki mbili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.


Kiungo wa Simba SC, Mussa Mudde akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, baada ya kuwasili wakitokea Oman walipoweka kambi ya wiki mbili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.


Mshambuliaji wa Simba SC, Felix Sunzu akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, baada ya kuwasili wakitokea Oman walipoweka kambi ya wiki mbili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.


Mudde bila shaka anakuja kufungua duka....


Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geoffrey Nyange 'Kaburu' akimlaki Mrisho Ngassa


Kocha Msaidizi wa Simba, Jamhuri Kihwelo akitoka kwa furaha, hapa alisema; "Tumerudi sasa maangamizi tu".


Kaburu akimlaki Komabil Keita


Nahodha Msaidizi wa Simba, Shomary Kapombe akiwasili


Kipa wa zamani wa Simba, Iddi Pazi 'Father' kulia akiwa na Julio Uwanja wa Ndege
Previous
Next Post »