MAMA AKATAZWA KUSHIKA MIMBA MIAKA 13,LA SIVYO ATAFUNGWA MIAKA 5



Mama mmoja ambaye aliwaacha watoto wake wanne kwenye chumba cha hoteli nakwenda kupart  amezuiwa kuzaa  watoto wengine kwa miaka kumi na tatu.(A mother who left her four kids in a hotel room to go out partying has been banned from giving birth to more children for 13 years.)
Kimberly Lightsey,  mwenye umri wa miaka 30 amekubali kutoshika mimba  kabla ya kufika mwaka 2025 kwa kuogopa kifungo cha miaka mitano.

Mapema aliiambia mahakama ya Bartow huko Florida kwamba alitaka kuwa na watoto zaidi.
Lightsey  aliwaacha watoto hao kuanzia  wa mwaka mmoja  hadi mwenye miaka 11 peke yao kwenye  iitwayo  Winter Heaven huko Florida. 


Polisi waliitwa baada ya mgeni kusikia kelele za watoto wakilia . Mtoto mmoja ana kifafa na kupooza na alikuwa anahitaji maangalizi ya karibu sana yaani anahitaji  huduma ya mara kwa mara .

Lightsey,  alikuwa  katika kipindi cha mangalizi yaani  probation kwa miaka minne juu ya unyanyasaji wa watoto yaani child abuse toka mwaka 2009  amekamatwa na kurudishwa tena kwenye chumba.

Alikuwa kawekwa  katika kifungo cha ndani kwa miaka miwili  na kupigwa marufuku kutoka na   kuwasiliana na watoto wake huku watoto  wake hao wakiwa  chini ya uangalizi wa ndugu

Previous
Next Post »